Search This Blog

Monday, January 2, 2023

UPENDO WANGU UMENIPA UKILEMA

 SIMULIZI FUPI : UPENDO WANGU UMENIPA UKILEMANi mwaka mmoja tu umepita tangu mimi Aisha nifunge ndoa na Mume wangu Ally.Mwanzo maisha yalikuwa mazuri kiasi kwamba nilitamani hata tusizeheke wala kufa lakini ghafla mwenzangu alianza kubadilika.Nilimchunguza nikajua kuwa tayari ananisaliti na ana mwanamke mwingine nje.Nilichukulia tu kama kawaida...

WARIDI LA MAPENZI

 Tukusuma Mpoki alikuwa amesimama kwenye baraza la nyumba yake, uso wake ukiwa umekunja ndita, jasho likimtiririka, na macho yake yakiwa yanabubujikwa na machozi. Alikuwa amejifunga kanga moja tu kati ya eneo la kifuani na kiunoni na hivyo kuonesha mapaja yake yaliyonawiri vizuri na hivyo kulidhirisha kwa kadamnasi umbo lake lake la nyigu. Chini...

BAD VALENTINE

 SIMULIZI FUPI : BAD VALENTINENiliamka asubuhi sana, baada ya kuoga na kuvaa suruali yangu nyeusi na tshirt nyekundu yenye michirizi meusi mabegani, niliingia stoo na kuchukua jembe, jembe ambalo lilikuwa limeanza kuota kutu kwa kutotumiwa muda mrefu.Nilitoka nje na jembe langu mkononi, nilitembea kwa miguu taratibu kuelekea Sinza makaburini....

TANGA USIKU WA MANANE

 Mimi si mshirikina na mambo ya imani za jadi ziambatanazo na mambo ya kichawi kwangu ni kama hadithi za Hisopo na visa vya sungura na fisi. Katika pitapita yangu hapa yote hapa Bongo hata hivyo, nimekutana na watu wengi ambao wanaapa kwa majina ya wazazi wao na wengine hata wanaapia vifo cha watoto wao kuwa ati wamewahi kuona mambo ya kichawi...

KIFO CHANGU MWENYEWE

 ......Naikumbuka vema ile siku ya mimi na wewe kuanza ukaribu zaidi licha ya kuwa tulikuwa tunasoma wote kuanzia kidato cha kwanza.Monica hakika siwezi kuisahau siku hiyo ya graduation ya kumaliza kidato cha nne mimi na wewe pamoja na wanafunzi wenzetu.Siku ambayo nilikuomba tucheze pamoja nawe ukakubali na ndio ukawa mwanzo mzuri sana wa mimi...

SIJAKUSALITI WEWE MUME WANGU

 Sijakusaliti wewe Mume wangu....Alimfuata mumewe chumbani, muda huo watoto walikua wameshalala. Mumewe alikuwa 'busy' akisoma gazeti. Akamtazama mumewe kwa macho yaliyojaa huruma na huzuni, akaanza kuongea. "Mpenzi wangu, kuna kitu nataka nikiri kwako.""Kitu gani?" Mumewe akamuuliza huku macho bado yakiwa kwenye gazeti alilokuwa akisoma....

BLOG